Matthew 4:19-21

19 aIsa akawaambia, “Njooni, nifuateni nami nitawafanya mwe wavuvi wa watu.” 20 bMara wakaziacha nyavu zao, wakamfuata.

21 cAlipoendelea mbele kutoka pale, akawaona ndugu wengine wawili, Yakobo mwana wa Zebedayo na Yohana nduguye, wakiwa wamekaa kwenye mashua pamoja na baba yao Zebedayo, wakizitengeneza nyavu zao. Isa akawaita.
Copyright information for SwhKC